Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my
1] Thank you Baba na mama, wamenileta dunia, eh! you Lord for the life Japo kuna ninapitia Unaecheka nae kwenye a a Kwenye shida atakupa Pindi akigeuka Kizuri kinyaa Aliekuwa rafiki atakuona Huna nyumba, gari, genge Mabibo Au baby unaemtoa dinner Pesa zikiyumba, "kaa wewe kima!"
Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi zaidi ya wanyamwezi Mtaongea sana ma-young hamniwezi Mtazidi kupenga kisa stress mpaka Nawanyima chakula mwaka huu magodoro Ku-rap mi ni mkali, na mitindo Uliza Hamadi Ally chimbo Nilikuwa magari leo namiliki bingo Asee mi ni mkali kolo fimbo Rafiki wa kweli wangu, yeah, lala lala la Japo peace na wanangu, yeah Don't mess up my life
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my life (I'm my life)
3] Koni nisina thaman, ninichale na MULUNGU Wani Familia yane na vane Mjukulu wa mboja namba moja wanasema mengi, lakini mi siongei I think ya leo yaeza kuja better day Ndani ya week seven days haunaga kazi piga goti tu-pray Karibu A City, kutoe tongo la matajiri, halinaga longo longo Msomi Nikki Wa Pili, mi niliachaga Ngarenaro kwenye ramani ya Bongo
Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my I'm living my
Ambae kesho yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)