Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life
1] Thank you Baba na mama, wamenileta dunia, eh! you Lord for the life Japo kuna ninapitia Unaecheka nae raha a a shida atakupa jerahaa Pindi akigeuka Kizuri kinakuwa Aliekuwa rafiki atakuona Huna nyumba, gari, genge Mabibo Au baby unaemtoa dinner Pesa zikiyumba, "kaa mbali kima!"
Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my
2] Kitambo mi nachana zaidi ya sana nyie ma-young hamniwezi Mtazidi kupenga kisa stress totoro Nawanyima chakula mwaka huu mule mi ni mkali, style na mitindo Uliza Hamadi alivyonkutaga chimbo Nilikuwa magari leo namiliki bingo Asee mi ni kolo nalichapa fimbo Rafiki wa kweli moyo wangu, yeah, lala la niko peace na wanangu, yeah Don't up with my life
Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (I'm living my life)
3] Koni nasirirwe thaman, ninichale na MULUNGU Wani Familia yane na vane Mjukulu wa mboja namba moja Japo wanasema mengi, lakini mi I think baada ya leo yaeza kuja day Ndani ya week naziheshimu days Kama haunaga kazi piga tu-pray Karibu A City, tongo tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Nikki Wa Pili, mi niliachaga Makongo Arusha Ngarenaro ramani ya Bongo
Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my I'm my life
Ambae anaijua kesho yake kidole juu (No one tomorrow)