Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my
1] Thank you na mama, wamenileta kwenye dunia, eh! Thank you Lord for the Japo mengi ninapitia nae kwenye raha a a Kwenye shida atakupa akigeuka masaaa Kizuri kinakuwa rafiki atakuona mzigo Huna nyumba, gari, genge Mabibo Au baby unaemtoa dinner Pesa zikiyumba, "kaa wewe kima!"
Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi nachana zaidi ya Mtaongea sana nyie ma-young Mtazidi kupenga kisa stress mpaka Nawanyima chakula mwaka huu mule mi ni mkali, style na mitindo Uliza Hamadi Ally alivyonkutaga Nilikuwa naosha magari leo bingo Asee mi ni mkali nalichapa fimbo wa kweli moyo wangu, yeah, lala lala la Japo niko na wanangu, yeah Don't up with my life
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (I'm living my life)
3] Koni nasirirwe thaman, Bora na MULUNGU Wani Familia yane na vazazi wa mboja nini namba moja Japo mengi, lakini mi siongei I think ya leo yaeza kuja better day Ndani ya week naziheshimu days Kama haunaga kazi piga tu-pray Karibu A City, kutoe tongo Jiji la matajiri, longo longo Msomi Wa Pili, mi niliachaga Makongo Ngarenaro kwenye ramani ya Bongo
Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life I'm my life
Ambae kesho yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)