Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my
1] Thank you Baba na mama, kwenye dunia, eh! Thank you Lord for the Japo kuna mengi Unaecheka nae kwenye a a Kwenye atakupa jerahaa akigeuka masaaa Kizuri kinakuwa Aliekuwa rafiki mzigo nyumba, gari, unauza genge Mabibo Au baby baby dinner Pesa zikiyumba, "kaa mbali kima!"
Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi nachana ya wanyamwezi Mtaongea sana nyie ma-young kupenga kisa stress mpaka totoro Nawanyima mwaka huu mule magodoro Ku-rap mi ni mkali, na mitindo Uliza Hamadi Ally alivyonkutaga naosha magari leo namiliki bingo Asee mi ni kolo nalichapa fimbo Rafiki wa kweli moyo wangu, yeah, lala la Japo niko peace na wanangu, Don't up with my life
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my life (I'm my life)
3] Koni nisina thaman, Bora na MULUNGU Wani Familia yane na vazazi wa mboja nini namba moja Japo wanasema mengi, mi siongei I baada ya leo yaeza kuja better day Ndani ya naziheshimu seven days Kama kazi piga goti tu-pray Karibu A City, tongo tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Nikki Wa Pili, mi niliachaga Makongo Arusha Ngarenaro kwenye ramani ya
Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life I'm my life
Ambae anaijua kesho anyooshe kidole juu (No one tomorrow)