Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my
1] Thank you Baba na mama, kwenye dunia, eh! Thank you for the life Japo kuna mengi nae kwenye raha a a Kwenye atakupa jerahaa Pindi masaaa Kizuri kinyaa rafiki atakuona mzigo Huna nyumba, gari, unauza genge Au baby unaemtoa dinner Pesa zikiyumba, "kaa wewe kima!"
Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my
2] Kitambo mi nachana zaidi ya Mtaongea sana nyie ma-young Mtazidi kupenga kisa stress mpaka Nawanyima mwaka huu mule magodoro Ku-rap mi ni mkali, na mitindo Hamadi Ally alivyonkutaga chimbo Nilikuwa magari leo namiliki bingo mi ni mkali kolo nalichapa fimbo Rafiki wa kweli moyo wangu, yeah, lala la Japo niko peace na wanangu, Don't mess up with my
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my life (I'm my life)
3] Koni nisina thaman, ninichale na MULUNGU Wani Familia yane na vane Mjukulu wa mboja nini moja Japo wanasema mengi, mi siongei I think baada ya leo kuja better day Ndani ya week naziheshimu seven Kama haunaga kazi piga tu-pray A City, kutoe tongo tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Msomi Wa Pili, mi niliachaga Makongo Arusha Ngarenaro kwenye ramani ya
Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my I'm my life
Ambae kesho yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)