Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my
1] Thank you Baba na mama, wamenileta dunia, eh! you Lord for the life Japo kuna ninapitia nae kwenye raha a a Kwenye shida atakupa Pindi masaaa Kizuri kinakuwa Aliekuwa atakuona mzigo nyumba, gari, unauza genge Mabibo Au baby baby dinner Pesa zikiyumba, "kaa mbali kima!"
Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi zaidi ya wanyamwezi sana nyie ma-young hamniwezi Mtazidi kupenga kisa stress totoro Nawanyima chakula huu mule magodoro Ku-rap mi ni mkali, na mitindo Hamadi Ally alivyonkutaga chimbo Nilikuwa naosha magari leo bingo Asee mi ni mkali kolo nalichapa Rafiki wa moyo wangu, yeah, lala lala la Japo peace na wanangu, yeah Don't mess up my life
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my life (I'm my life)
3] Koni nasirirwe thaman, ninichale na MULUNGU Wani Familia yane na vane wa mboja nini namba moja Japo wanasema mengi, lakini mi I baada ya leo yaeza kuja better day Ndani ya naziheshimu seven days Kama kazi piga goti tu-pray Karibu A City, tongo tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Nikki Wa Pili, mi niliachaga Makongo Arusha Ngarenaro ramani ya Bongo
Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my I'm living my
Ambae kesho yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)