Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my
1] Thank you Baba na mama, kwenye dunia, eh! you Lord for the life Japo kuna mengi nae kwenye raha a a Kwenye shida atakupa Pindi akigeuka kinakuwa kinyaa Aliekuwa rafiki atakuona Huna nyumba, gari, unauza Mabibo Au baby unaemtoa dinner Pesa zikiyumba, "kaa mbali kima!"
Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi zaidi ya wanyamwezi Mtaongea nyie ma-young hamniwezi kupenga kisa stress mpaka totoro Nawanyima chakula mwaka huu magodoro mi ni mkali, style na mitindo Uliza Ally alivyonkutaga chimbo Nilikuwa naosha magari leo bingo Asee mi ni mkali nalichapa fimbo wa kweli moyo wangu, yeah, lala lala la Japo peace na wanangu, yeah Don't mess up my life
Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (I'm living my life)
3] Koni nasirirwe thaman, Bora na MULUNGU Wani Familia yane na vane Mjukulu wa mboja nini namba wanasema mengi, lakini mi siongei I think ya leo yaeza kuja better day Ndani ya week naziheshimu seven Kama kazi piga goti tu-pray Karibu A City, kutoe tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Nikki Wa Pili, mi niliachaga Makongo Arusha Ngarenaro kwenye ramani ya
Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life I'm living my
Ambae kesho yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)