Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life
1] Thank you Baba na mama, wamenileta dunia, eh! Thank you Lord for the Japo mengi ninapitia Unaecheka nae raha a a Kwenye shida jerahaa akigeuka masaaa Kizuri kinyaa Aliekuwa rafiki mzigo Huna nyumba, gari, unauza genge Au baby unaemtoa dinner zikiyumba, "kaa mbali wewe kima!"
Lala, lele, I'm living my Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life Lala, lele, I'm my life
2] Kitambo mi nachana ya wanyamwezi Mtaongea sana nyie hamniwezi Mtazidi kupenga kisa stress totoro Nawanyima mwaka huu mule magodoro mi ni mkali, style na mitindo Uliza Ally alivyonkutaga chimbo Nilikuwa naosha magari leo bingo Asee mi ni mkali kolo nalichapa Rafiki wa kweli moyo wangu, yeah, lala la Japo niko peace na wanangu, mess up with my life
Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm living my (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (yes I'm living, I'm living) Lala, lele, I'm my life (I'm living my life)
3] Koni nisina thaman, ninichale na MULUNGU Wani Familia yane na vane Mjukulu wa mboja namba moja Japo mengi, lakini mi siongei I think baada ya leo kuja better day Ndani ya week naziheshimu seven Kama haunaga kazi piga goti Karibu A City, kutoe tongo Jiji la matajiri, halinaga longo Msomi Nikki Wa Pili, mi niliachaga Arusha Ngarenaro kwenye ramani ya
Lala, lele, I'm living my Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm my life Yes I'm living, I'm Lala, lele, I'm living my I'm living my
Ambae anaijua yake anyooshe kidole juu (No one tomorrow)