Ndoto ya Yusufu alipowaambia ndugu Maono ya Yusufu ndugu zake Kwamba ameona wakimwabudu, ameona wakimwabudu, na kumsujudia Ndoto ya ndicho kilikuwa chanzo Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha vita maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi
Mbeba maono hafi, ni yatimie maono hafi, ni lazima yaonekane Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ndoto ya kwamba Mbinguni malaika wanashangilia ya umeshinda Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe Maana mbeba hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe Yale maono yako juu ya familia Yale maono yako juu ya kazi ya Mungu Maono yako hafi Amechukuwa mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, Mungu ana mpango nawewe
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
ya Yusufu kweli ilichelewa Akatupwa gerezani, ilichelewa Lakini mwisho wa siku ilitima Wale mwuuza utumwani ndio walio wamwangukia tena Yawezekana na leo ndoto imechelewa Hao wanaokudharau leo ndio watakao Umebeba maono gani juu ya maisha Yawezeka kuna wamekukatisha tamaa kuna wengine wamekuvunja moyo Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima
Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima