Ndoto ya Yusufu ndugu zake Maono ya alipowaambia ndugu zake Kwamba wakimwabudu, wakimsujudia ameona wakimwabudu, na kumsujudia Ndoto ya Yusufu ndicho chanzo Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni cha vita yake maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana nawe
Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni lazima maono hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ndoto ya umeshindwa malaika wanashangilia ya kwamba umeshinda Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe Maana maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe Yale maono juu ya familia yako Yale maono yako juu ya kuinua kazi ya yako yako hafi Amechukuwa Maana mbeba maono hafi, Mungu ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana nawewe
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima
Ndoto ya kweli ilichelewa gerezani, ndoto ilichelewa Lakini mwisho wa ndoto ilitima Wale walio mwuuza utumwani walio wamwangukia tena Yawezekana na leo ndoto imechelewa Hao leo ndio watakao kuheshimu Umebeba maono gani juu ya maisha Yawezeka kuna wamekukatisha tamaa Yawezeka wengine wamekuvunja moyo Maana mbeba hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni lazima