Ndoto ya Yusufu ndugu zake Maono ya Yusufu ndugu zake Kwamba wakimwabudu, wakimsujudia Kwamba ameona wakimwabudu, na Ndoto ya Yusufu ndicho kilikuwa Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha yake Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana nawe Mbeba maono hafi, Bwana ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni lazima maono hafi, ni lazima yaonekane Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ya kwamba umeshindwa Mbinguni malaika wanashangilia ya umeshinda Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe Yale yako juu ya familia yako Yale maono yako juu ya kuinua kazi ya Maono yako yako nani Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana nawe Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana mpango
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane
Ndoto ya Yusufu kweli Akatupwa gerezani, ndoto Lakini mwisho wa siku ilitima Wale walio mwuuza utumwani ndio wamwangukia tena Yawezekana na leo ndoto imechelewa Hao wanaokudharau leo ndio watakao Umebeba gani juu ya maisha yako kuna watu wamekukatisha tamaa Yawezeka wengine wamekuvunja moyo Maana maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni yatimie maono hafi, ni lazima yaonekane