Ndoto ya Yusufu alipowaambia ndugu Maono ya Yusufu ndugu zake Kwamba wakimwabudu, wakimsujudia Kwamba ameona wakimwabudu, na Ndoto ya Yusufu ndicho kilikuwa Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha vita Mbeba hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane
ameota ndoto ya kwamba umeshindwa Mbinguni malaika wanashangilia ya umeshinda mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi maono yako juu ya familia yako Yale yako juu ya kuinua kazi ya Mungu Maono yako yako nani Maana mbeba hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe mbeba maono hafi, inuka Mungu ana mpango nawewe
Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane
Ndoto ya Yusufu ilichelewa gerezani, ndoto ilichelewa Lakini mwisho wa ndoto ilitima walio mwuuza utumwani ndio walio wamwangukia tena Yawezekana na wewe leo imechelewa Hao wanaokudharau leo ndio kuheshimu Umebeba maono gani juu ya maisha kuna watu wamekukatisha tamaa Yawezeka kuna wamekuvunja moyo Maana mbeba maono hafi, Mungu ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane