Ndoto ya Yusufu alipowaambia ndugu Maono ya alipowaambia ndugu zake Kwamba ameona wakimwabudu, ameona wakimwabudu, na kumsujudia Ndoto ya Yusufu ndicho kilikuwa ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha vita yake Mbeba hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane
Shetani ndoto ya kwamba umeshindwa Mbinguni malaika ya kwamba umeshinda Maana mbeba hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe Yale maono yako juu ya familia maono yako juu ya kuinua kazi ya Mungu Maono yako yako Amechukuwa Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi Maana mbeba maono hafi, Mungu ana mpango nawewe
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Ndoto ya kweli ilichelewa Akatupwa gerezani, ndoto Lakini mwisho wa ndoto ilitima Wale walio mwuuza ndio walio wamwangukia tena na wewe leo ndoto imechelewa Hao wanaokudharau leo ndio kuheshimu Umebeba maono juu ya maisha yako Yawezeka kuna wamekukatisha tamaa kuna wengine wamekuvunja moyo Maana maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima