Ndoto ya alipowaambia ndugu zake Maono ya alipowaambia ndugu zake ameona wakimwabudu, wakimsujudia Kwamba wakimwabudu, na kumsujudia Ndoto ya Yusufu kilikuwa chanzo Ndoto ya kilikuwa ni chanzo cha vita yake Mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana nawe
Mbeba maono hafi, ni yatimie maono hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba maono hafi, ni lazima
Shetani ameota ndoto ya kwamba Mbinguni wanashangilia ya kwamba umeshinda Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe Maana maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe maono yako juu ya familia yako Yale yako juu ya kuinua kazi ya Mungu Maono yako yako Amechukuwa Maana mbeba hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, inuka ana mpango nawewe
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Ndoto ya Yusufu ilichelewa gerezani, ndoto ilichelewa Lakini mwisho wa siku ilitima Wale walio mwuuza utumwani ndio wamwangukia tena Yawezekana na leo ndoto imechelewa Hao wanaokudharau leo watakao kuheshimu Umebeba maono gani juu ya maisha Yawezeka kuna watu wamekukatisha kuna wengine wamekuvunja moyo Maana maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni lazima
maono hafi, ni lazima yatimie Mbeba maono hafi, ni yaonekane