Ndoto ya Yusufu alipowaambia zake ya Yusufu alipowaambia ndugu zake Kwamba ameona wakimwabudu, ameona wakimwabudu, na kumsujudia Ndoto ya Yusufu ndicho chanzo Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni cha vita yake Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ya kwamba umeshindwa Mbinguni malaika wanashangilia ya kwamba Maana mbeba maono hafi, Bwana ana kusudi nawe Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana nawe Yale maono yako juu ya familia Yale maono yako juu ya kuinua ya Mungu yako yako hafi Amechukuwa Maana mbeba maono hafi, Mungu ana kusudi nawe mbeba maono hafi, inuka Mungu ana mpango nawewe
Mbeba hafi, ni lazima yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yaonekane
Ndoto ya kweli ilichelewa Akatupwa gerezani, ilichelewa mwisho wa siku ndoto ilitima Wale walio mwuuza ndio walio wamwangukia tena Yawezekana na wewe leo ndoto Hao wanaokudharau leo ndio kuheshimu Umebeba gani juu ya maisha yako Yawezeka kuna watu wamekukatisha Yawezeka wengine wamekuvunja moyo Maana mbeba maono hafi, inuka ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba hafi, ni lazima yaonekane Mbeba maono hafi, ni yatimie Mbeba hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima Mbeba maono hafi, ni yaonekane