A man di galis, light up the herb light up the REKLES Piga goti eh, Panua domo eh, ghetto naeza chizi niku peleke hadi kile, Shigishigi de, Out of ten kula ten chuki nina wembe jo zaidi ya thao ntawape. Hapa mtaa si ndo uburn ka stima Hapana msupa ka amekosa figure Na one two asha jipa Yani a man a galis kiu bombastika. [HOOK] REKLES X Everyone Ushai 'lamba Ushai ' Lamba lolo' SESSKA Piga goti eh, Panua basi eh, Toe lolo unaeza chizi nduru hadi kile Shika toto fiti inama aki inama me na bend Aki back it ana sanif me na smama de Digidigi de, out of 10 kula 10 Penda venye una kaza ni ka una bet Mambo ya selfie jo hapana kabambe Odi waki anza dance katenje katembe REKLES Na leo skanyagi base bana ju usha nmaliza Stima mzinga umeze jo kwa Nipe nare chimney zaidi ya wiz khalifa Chain ni ya mtu mbili wageni kabisa [BRIDGE] Hapa mtaa si ndo uburn ka stima fuata msupa ka amekosa figure Na nikitupa one two asha Yani a man a galis kiu bombastika. REKLES X Ushai 'lamba lolo' Ushai ' Lamba lolo' SWAT Ni swat na matire kuwasha tire Na atuna adi nare Tunafah kula vibare Tusake ao ndo tuwa daredare Ni swat na matire wanatuita odinaree Combi ni ya Shoot tatu ndio namba Npate bedroom na wangah Ii ni ya wajanja Nawapeleka na rada Kula njuguu nguvu Na upewe rungu Upigeh nduruu mbaka uite tu jina ya mungu Na mtukutu akona kutu apewe Apige miti mbaka awiti askie ZILLA Skiza me nakuja dada me nalook alive... na boza bana me ndo king walai. cheki mita dola me nachase mandai. fala nigga fala nigga bitch maasai. me ndo wa raga bana utanipata base. me ndo lover bana utanihanda less. kuja na fwatwa namalimo benz. . everydai nacall msupa toa panti bend [BRIDGE] Piga eh, Panua domo basi eh, Toka ghetto chizi niku peleke hadi kile, Shigishigi de, Out of ten kula ten Wenye chuki nina wembe jo ya thao ntawape. [HOOK] REKLES X Everyone Ushai lolo' Ushai ' lolo'