A man di galis, light up the herb up the chalice REKLES Piga eh, Panua domo basi eh, Toka ghetto naeza chizi niku hadi kile, Shigishigi de, Out of ten kula ten Wenye chuki nina wembe jo ya thao ntawape. Hapa mtaa si ndo uburn ka stima Hapana fuata msupa ka amekosa Na nikitupa one two asha jipa Yani a man a kiu bombastika. REKLES X Everyone Ushai 'lamba lolo' Ushai ' Lamba lolo' SESSKA goti eh, Panua domo basi eh, Toe lolo unaeza chizi upige nduru hadi kile Shika toto fiti aki inama me na bend Aki back it ana sanif me na smama de Digidigi de, out of 10 10 Penda venye una kaza ni ka una ngoja bet Mambo ya selfie jo hapana kabambe Odi waki anza dance katenje katembe REKLES Na leo skanyagi base bana ju usha nmaliza Stima mzinga umeze jo kwa giza Nipe nare chimney zaidi ya wiz khalifa ni ya mtu mbili wageni kabisa [BRIDGE] Hapa mtaa si ndo uburn ka stima Hapana fuata msupa ka figure Na nikitupa one two jipa Yani a man a galis kiu bombastika. REKLES X Ushai 'lamba lolo' Ushai ' Lamba SWAT Ni swat na matire Tumekuja kuwasha tire Na atuna adi nare Tunafah kula vibare Tusake ao madem ndo daredare Ni swat na matire wanatuita odinaree Combi ni ya maodinaree Shoot ndio namba Npate na wangah Ii ni ya wale wajanja Nawapeleka na rada Kula njuguu ongezah nguvu Na upewe rungu Upigeh nduruu uite tu jina ya mungu Na mtukutu akona apewe mutu Apige miti mbaka awiti askie ZILLA Skiza me nakuja dada me nalook alive... everyday na boza bana me ndo walai. cheki mita dola me nachase mandai. fala nigga bitch fala bitch maasai. me ndo king wa raga bana base. me ndo peter lover bana less. kuja na fwatwa namalimo benz. . everydai nacall msupa toa panti [BRIDGE] Piga goti eh, Panua domo basi eh, Toka ghetto naeza chizi niku hadi kile, Shigishigi de, Out of ten kula ten Wenye chuki wembe jo zaidi ya thao ntawape. [HOOK] REKLES X Everyone 'lamba lolo' Ushai ' Lamba